Search This Blog
Thursday, 12 January 2017
Wababa haki za likizo ya uzazi.
62.-(1) Mtumishi wa umma ambae mkewe amejifungua,
ataruhusika kupewa likizo ya malipo kwa muda wa siku tano
za kazi ikiwa:-
(a) Likizo hilo litachukuliwa ndani ya siku saba
baada ya mtoto kuzaliwa na halitoathiri
likizo yake ya mwaka;
(b) Likizo hilo litatolewa kila baada ya miaka
mitatu.
(c) Taarifa ya kustahili likizo iwasilishwe kwa
Mkuu wake wa kazi na iambatanishwe na
kitambulisho cha kuzaliwa kwa mtoto
kitakachotolewa hospitali, Sheha au
Kiongozi wa Mtaa au Kijiji.
(2) Bila ya kuathiri kanuni ndogo (1)(b) ya kanuni
hii, mtumishi wa umma mwenye mke zaidi ya mmoja atastahiki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment