Geita News
kwa habari za uhakika.
Search This Blog
Saturday, 7 January 2017
Umuhimu wa kupata usingizi wa kutosha
Health Magazine wanaeleza faida za kulala kwa muda unaopaswa
Husaidia kuongeza kumbukumbu
Huongeza ubunifu
Huongeza usikivu
Husaidia kupunguza uzito
Husaidia kupunguza msongo wa mawazo
Nilale kwa muda gani?
Kwa mujibu wa Help guide, mtu mzima (18+) anapaswa kulala kuanzia masaa saba mpaka tisa.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment