Siku ya jana kuna video iliyosambaa ikimuonyesha mwanamke akichapwa viboko hadharani iliyobabisha hasira miongoni mwa watu wengi. Na sasa, serikali imeviagiza vyombo vyake vya kiuchunguzi kufuatilia chanzo chake.
Kwenye video hiyo, anaonekana mwanamke akichapwa viboko mbele ya mkutano na kuahidi ndani ya muda mfupi itatoa taarifa rasmi huku ikisema haitasita kutoa adhabu kali kwa yeyote aliyehusika.
No comments:
Post a Comment